Jumamosi, 21 Februari 2015

Mzee Madiva wa kijiji cha Mbutta akimzungumzia Mh Bernard Kamilius Membe

Mkazi wa kijiji Cha Mbutta kata ya Mnolela Jimbo la Mtama akizungumza kwa uchungu juu ya mambo anayoyafanya Mbunge wake Mh Bernard Kamilius Membe ambaye anadhamana ya Uwaziiri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni